JEHOVAH SABAOTH

“Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha BWANA, msiwe na kimya; wala msimwache akae kimya, mpaka atakapoufanya imara Yerusalemu, na kuufanya kuwa sifa duniani.”
‭‭Isa‬ ‭62‬:‭6‬-‭7‬ ‭SUV‬‬

Enyi walinzi wa hatima za kizazi hiki, msinyamaze! Walinzi wa mitaa, familia, uko, miji, mataifa, kanisa, dunia msinyamaze!!! Wala msimuache BWANA ANYAMAZE! Upo utukufu upaswao kufunuliwa juu ya kila mmoja, juu ya mataifa, vizazi na dunia kwa ujumla! Msinyamaze!!

Yajapoinuka mengi ili kuwanyamazisha! Msinyamaze! Udhihirisho umefichwa katika kutonyamaza. Ombeni bila kuchoka, BWANA ANASIKIA! Nanyi MTASHUHIDIA MAKUU.

Video

Angel Benard Ft MOG Zoravo – Jehovah Sabaoth (Live Video)

0 CommentsClose Comments

Leave a comment

Guspel © Copyright 2025. All Rights Reserved.

Newsletter Subscribe

Get the Latest Posts & Articles in Your Email

We Promise Not to Send Spam:)